3 comments
You may like
Nawaaqidhul Islaam [Vitenguzi Vya Uislamu] Ndugu muislamu! Namuomba Allaah [Tabaarakah wa Ta’aalaa] Akulinde Na Akuongoze Katika Yaliyo Ya Sawa, Tambua Ya Kwamba Muislamu Anaweza Kuritadi Kutoka Katika Dini Yake Kutokana Na Aina Mbali Mbali Ya Mambo Yanayotengua/Kuvunja Uislamu, Na Anakuwa Ametoka Katika Uislamu. Miongoni Mwa Mambo Ya Khatari Na Yanayotokea Kwa Wingi Ni Mambo Kumi. Wanawazuoni Allaah Awarahamu Wameyataja Kwa Dhumuni Utahadhari Nayo Na Wewe Utahadharishe Na Wengine ili Wasalimike Nayo. Namuomba Allaah Atulinde Nayo Na Awaongoze Wote Walioko Juu Ya Hayo Aamiyn. Sikiliza Na Uzingatie Juu Ya Haya Mambo 10 Yenye Kuvunja Uislam. #fyp #islam #manhajsalaf #tawhid #salaf #reminder
abuu.hannan
438
·2024-6-25Hali Ni Mbaya Kwenye Familia Zetu, TUJIBADILISHE! 🎙️Sheikh Abuu Nufaydah Hussein Sembe [Allaah Amhifadhi] #fyp #familia
abuu.hannan
39
·1-27Ushujaa Wa Kweli Ni Kumuogopa Allaah ﷻ 🎙️Sheikh Abuu Mundhir Muneer As-S’adi حفظه الله تعالى Tarjama : Safhaturabbaaniyyiin #fyp #nasiha #fame #sunnah #reminder #taqwa
abuu.hannan
104
·1-18Ibn 'Abbaas (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) amehadithia kwamba: Jibriyl ('Alayhis-Salaam) alipokuwa na Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alisikia sauti kutoka juu. Jibriyl ('Alayhis-Salaam) akatazama juu akasema: "Huu mlango wa mbinguni umefunguliwa na haujapatapo kufunguliwa isipokuwa leo." Malaika akateremka humo akasema: "Huyu Malaika ameteremka ardhini, hajapatapo kuteremka kamwe isipokuwa leo." Akasalimia kisha akasema: "Pokea bishara ya nuru mbili ulizopewa ambazo hakuna Nabiy aliyepewa kabla yako; Ufunguo wa Kitabu (Al-Faatihah), na Aayah (mbili) za mwisho wa Suwratul-Baqarah. Hutosoma herufi humo ila utapewa barakah zake ziliomo." [Muslim] #quran #fyp #alfatihah #reminder
abuu.hannan
56
·2024-11-27Mfululizo Wa Hadiyth Kutoka Katika Kitabu Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah Cha Imaam Yahya Bin Sharaf Al-Nawawiy رحمه الله تعالى Hadiyth No.7 : Dini Ni Nasaha. #fyp #sunnah #40nawawiyyah
abuu.hannan
38
·2024-10-30Wafundisheni Watoto Wenu Sharia | Sheikh Muhammad Saeed Raslan حفظه الله تعالى #fyp #sunnah #akhlaq
abuu.hannan
167
·2024-10-9Ee Allaah Tukinge Kutokamana Na Moto,Ee Allaah Tukinge Kutokamana Na Moto,Ee Allaah Tukinge Kutokamana Na Moto. Amesema Mtume ﷺ : ومن استجار من النار ثلاث مرات قالت النار اللهم أجره من النار Na mwenye kuomba kuokolewa na MOTO Mara tatu[3] husema Moto ewe Allaah muokoe kutokamana na moto. Sunan al-Tirmidhī 2572
abuu.hannan
359
·2024-10-5Vipi Tutalijua Kundi Lililosalimika Kutokamana Na Adhabu Ya Moto. [Al-Firqat-un-Naajiyah] Sheikh Muhammad Amaan Al-Jaamiy رحمه الله تعالى #fyp #salaf #firqatunnajiyah #sunnah
abuu.hannan
70
·2024-10-1MAANDAMANO Si Katika Mafundisho Ya Dini Yetu Jihadhari Ewe Ndugu Muislamu. #fyp #protest #peace #sunnah #explore #amani
abuu.hannan
39
·2024-9-23